BADNEWS- HII HAPA TAARIFA YA KIFO CHA MH ABAS KANDORO - EDUSPORTSTZ

Latest

BADNEWS- HII HAPA TAARIFA YA KIFO CHA MH ABAS KANDORO


Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro 

TANZIA: Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro amefariki dunia usiku huu wa Ijumaa, Aprili 27, 2018 katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibu.

Kabla ya hapo, Kandorro alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma.

Kabla ya kustaafu utumishi wake, Kandoro alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kabla ya kumwachia Amos Makalla.

Aidha, Abbas Kandoro aliwahi kushika nafasi ya ukuu wa mikoa katika zaidi ya mikoa sita Tanzania Bara ikiwemo Dar es salaam, Mwanza, Arusha, Singida na Mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda ameandika;



EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:

Delivered by EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz