ITAMBUE ORODHA YA WACHEZAJI WA KIGHANA WANAO SAKATA KABUMBU LIGI KUU BARA - EDUSPORTSTZ

Latest

ITAMBUE ORODHA YA WACHEZAJI WA KIGHANA WANAO SAKATA KABUMBU LIGI KUU BARA




Daniel Amoah – Azam FC

KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara kikiwa kimefi­kia patamu kipindi hiki cha lala salama ambapo Simba inaendelea kukimbiza kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo, kuna wachezaji wa kigeni kuto­k a nchi ya Ghana ambao w a m e e n d e l e a kuliteka soka la B o n g o n a k u o ng e­za ushindani.

Kutokana na sheria na kanuni za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ku­ruhusu uwepo wa wachezaji wasiozi­di saba kwenye timu moja ya ligi kuu, imezifanya timu shiriki kufanya usa­jili wa wachezaji mbalimbali kutoka mataifa tofauti.

Championi Ijumaa limebaini kuwa, wimbi kubwa la wachezaji wal­iosajiliwa Bongo, Waghana ni wengi na wanafanya vizuri. Huu ni ucha­mbuzi Waghana wanaofanya vi­zuri tangu kuanza kwa msimu wa 2017/18:



Enock Atta Agyei – Azam FC

Kiungo mshambuliaji, amejiunga na timu hiyo tangu msimu uliopita lakini ameanza kucheza msimu huu kutokana na awali kuwa na matatizo kwenye usajili wake.

Mghana huyo amekuwa akicheza kwa uhodari mkubwa kwenye nafasi yake jambo ambalo Azam wanaji­vunia kuwa naye kwani wakati ana­sajiliwa, alikuwa akipewa sifa nyingi kitu ambacho kweli amekuja kuki­dhihirisha ingawa timu yake hiyo imekuwa haina matokeo mazuri sana.

Daniel Amoah – Azam FC


Alisajiliwa msimu mmoja na Agyei, amekuwa katika kikosi cha kwanza tangu aliposajiliwa mpaka hivi karibuni alipopata majeraha makubwa ambayo anatara­jiwa kukaa nje kwa takrib­ani miezi tisa. Beki huyo mwenye uwezo wa kucheza kati na kulia, mkataba wake na Azam FC unatara­jiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu.



Yakub Mohamed – Azam FC


A n a u j e n g a vema ukuta wa Azam FC a k i s h i r i ­kiana na A g g r e y Morris. Yaku­bu alijiunga kikosini hapo misimu miwili iliyopita. Ubora wake unaweza kuwafanya mabosi wake kufikiria nam­na ya kumuongezea mkataba ili aendelee kusalia kikosini.


Bernard Arthur – Azam FC


A na c h­eza na­fasi ya u s h a m ­b u l i a j i . A l i s a ­jiliwa kipin­d i cha usajili wa dirisha dogo msimu huu, aki­chukua nafasi ya Mgha­na mwenzake, Yahaya Mohammed. Wakati anasajiliwa mabosi wa timu hiyo walisema ni mshambuliaji hatari, lakini ameshindwa kuonyesha ubora wake wa kucheka na nyavu, amefunga bao moja pekee mpaka sasa.

Razack Abalora – Azam FC
Alisajiliwa baada ya kuondoka kwa Aishi Man­ula aliyetimi­k i a Simba mwan­zoni mwa msimu huu. Kipa huyu ameziba vizuri pengo la Manula na amekuwa msaada mkubwa ndani ya kikosi hicho.



Nicolas Gyan – Simba

Ni winga ambaye kwa sasa anachezeshwa kama beki wa kulia na wakati huohuo winga. Wakati anasajiliwa mwanzoni mwa msimu huu, alitajwa kuwa ni mmoja wa washambuliaji hatari, lakini amekuja kubadil­ishiwa majukumu na sasa anachezeshwa nafasi tofauti na aliyokuwa akiicheza huko alipotoka.

Asante Kwasi – Simba

Ni msimu wake wa pili akishiriki Ligi Kuu Bara akiwa na timu tatu tofauti. Msimu uliopita alikuwa Mbao FC, msimu huu alianzia Lipuli FC kabla ya kuhamia Simba katika usajili wa dirisha dogo.

Licha ya kuwa beki wa kushoto pia amekuwa na uwezo mkubwa wa kufunga mabao ambapo katika orodha ya wafungaji kwenye Ligi Kuu Bara, ameweza kuwapiku wa­shambuliaji kadhaa kwani mpaka sasa amefunga mabao nane.

James Kotei – Simba

Alijiunga msimu uliopita na kui­saidia Simba kuchukua ubingwa wa Kombe la FA. Msimu huu ameen­delea kuwa mmoja wa wachezaji muhimu.

Licha ya kuwa ni kiungo mkabaji, lakini amekuwa akichezeshwa beki wa kati na amekuwa akifanya vi­zuri kitu ambacho kinawavutia ma­bosi wa benchi la ufundi la Simba lililopo chini ya Mfaransa, Pierre Lechantre.

Credit to globalpubrishers
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz