sms za mahaba usiku | sms za kutongoza kwa kiswahili 2024 - EDUSPORTSTZ

Latest

sms za mahaba usiku | sms za kutongoza kwa kiswahili 2024


sms za mahaba usiku | sms za kutongoza kwa kiswahili
sms za mahaba usiku | sms za kutongoza kwa kiswahili

Pata GB 10 Mtinadao yote BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


sms za mahaba usiku | sms za kutongoza kwa kiswahili


sms za mahaba usiku | sms za kutongoza kwa kiswahili , sms za kuomba penzi, sms za mapenzi 2024, sms za mapenzi ya mbali, sms za kulalamika kwa mpenzi wako, sms za mahaba usiku

Heshima kwenu wadau,

Baada ya kuona Watu wanawaandikia wapenzi wao sms za mahaba | Meseji za Mapenzi za kawaida zisizo romantic, nmeona niwakusanyie meseji japo uwe unacopy na kumpestia umpendae
.

SOMA ZAIDI HAPA


Hii itasaidia kuamsha mapenzi na kumfanya mpenzi wako ajisikie poa



Just mtumie meseji moja kati ya hizi uone majibu yake;.


Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? 


Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni 


mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa 



nakupenda, niamini mpenzi

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*



upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .

upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni 
siri ya maisha matamu
nakupenda mpenzi
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda 
kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"
nakupenda laazizi
"Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati
mawazo yangu 
yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla 
yako je wewe ungekuwepo nayo
ungempa nani kwanza? "
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na 
likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo 
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu 
Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi 
mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo 
Kasi Na Kusi.

 Nakupenda sana Dear Figganigga
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua 
nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu 
ili 
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako 
mpenzi.nakupenda sana laazizi 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi 
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia 
moyoni mwangu 
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini 
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si 
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa 
unaempenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni 
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni 
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe 
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda 
pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu 
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
nimetuma ndege wangu auzunguke ''moyo'' wako kwa '' upendo 
'' auguse ''uso'' wako kwa ''faraja'' na mwisho 
akunong'oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni 
zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza 
kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo 
wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana Figganigga.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi 
haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane 
badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku 
wakigombana wataachana.


•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharani 
nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa 
yakini. 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 


nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua 
furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu 
nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu 
tabibu ,we ndo wangu wa manani.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo 
huhitaji uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato 
lako,nakupenda mpenzi


•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni 
yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea 
kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na 
karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 



>>--------->>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk 

maisha yangu na kama umekutana nao
usiukwepe uache 
uchome Moyo wako gharama
za matibabu juu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 



sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi

unayonipatia,
moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
kukupatia nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona
kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi
lako.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja
kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa 
sasa siwezi kukupatia
kwa maana mgeni kashakuharibia
nakupenda dear

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

Ni yangu mazoea kila cku cm yako
kuipokea kama si meseji 
kunitumia
leo naumia kila napo fikiria nini
kimetokea hadi 
mawasiliano yetu
yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali
ya kawida itarejea 
na
majonzi moyoni yatanipotea
nakupenda mpz.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nimezunguka pande z zote ote za Tanzania macho
nikiyaangaza 
kumsaka mrembo
wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo
ndani yake na kulila 
TUNDA lake
kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi 
kama wewe ndiye
ulie uteka moyo wangu. 
nakupenda laazizi.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Raha ya ucngz ni ucngz . . . .''tamu''ya penzi ni ndoto . 
Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi 
nikiwa mimi.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute 
nakupenda mpz moyoni mwako unitulize.
Nakupenda mpz.


•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda 
mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta 
amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong'oneze mwambie 
nampenda sanaaaa
Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati 
,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi 
kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama 
ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi 
milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbal 
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza 
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
kamwe cwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo 
mwangu cku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa 
maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele!

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba 
sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez 
kuipeza,nakupenda wewe pekee.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kama 
nyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•


kiangazi aumasika
kukupenda nitawajibika kwenye chupa au birika chai yako 
ya uhakika ,iwe ndoo au pipa ujazo wa penzi kimiminika.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila 
nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni 
ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi 
ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila

kujali.


•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni 
zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani 
unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako 
limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako 
haliwezi futika.

NAKUPENDA
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani 
nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa 
yakini.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya 
nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maisha 
yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo 
halitapona .nakupenda sana Figganigga.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwa 
dakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli 
usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni 
mwangu nimeridhia. . . .nakupenda daima mpenzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba 
sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi 
kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la 
mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili 
chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu 
nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi 
letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha 
hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi 
asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa 
wengine wanaweza kukupa. . . .njoo leo uniambie unataka 
nini?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo,kuridhishana,kupeana 
bila 
kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus
ikilizana.je utaweza kujifanyia yote hayo?nijibu mpenzi. . 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo 
wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni 
machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini 
haitochuruzika ila mishipani. . . .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia 
nzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langu 
kwako ni nuru daima halizimiki.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha 
hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha 
unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . 
.njo leo uniambie unataka nini?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nipe niridhike,nionjeshe usinilambishe,nikigonga 
nikaribishe na penzi le2 2listawishe.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo
kuridhishana,kupeana bila 
kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus
ikilizana,je utaweza kujifanyia yote hayo?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Utakuwa wangu wa maisha daima na penzi le2 litakuwa km 
mfuko wa hazina,2talitunza km zaidi ya mboni la jicho.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibika 
moyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufa 
usiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Swt ulivyoumbika wengi wanateseka juu yako ,najua 
wanakusumbua ni vema usiwakubalie, ukweli umebarikiwa 
uzuri umeshushiwa na dhati ya penzi umetunukiwa nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
wengi walisema penzi letu lisingedumu,lakini leo twawaacha 
midomo wazi kwa misengenyo yao isiyo na maana ,tuendelee 
kupendana,wanafiki roho ziwaume!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kama ni usafiri wewe ni gari salama,kama ni kiwanda wewe 
ni namba moja ,kama ni maji kwako kuna chemchem,kama ni 
mapenzi kwako nimefika,niahidi utakuwa nami siku zote 
maishani mwangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa 
dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni 
mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika 
daima.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali 
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza 
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo 
tambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupo 
anayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudani 
tambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hata 
km upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, 
napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, 
mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu 
yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Joto ndio kitu nachotarajia kutoka kwao mke wangu 
mtarajiwa, usisikilize maneno yakuambiwa, ni wewe tu 
mwenye thamani kwangu katika hii dunia.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo 
huhitaji uwepo wako na hasa nikumbukapo kumbato lako, 
nakupenda mpenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika wewe ndiye wangu mahabuba unayejua kunipa huba, 
napenda unavyoniganda mithili ya ruba, nahahidi kukupa 
mahaba yanayozidi shaba. Nakupenda Figganigga[ mtaje jina].
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitoto 
na zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto, 
nahitaji uwe wangu mama watoto!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo 
wangu
mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo 
lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi 
nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo 
daima milele.
nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu 
kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele kwa 
kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na 
mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat 
na mapenz mazito zito, 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
macho yang hutaman kukuona,mdomo wang hutaman 
kukubusu,mikono hutaman kukutomasa,uko mbali nami ila 
mwili wangu upo kwa ajili yako dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe 
huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno 
hayapo kwake,
nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo 
tayar kumsaliti na lbd aanze yeye
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa 
moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, 
tupendane daima lahazizi…
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku 
zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe 
ndiyo ua la moyo wangu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahaba 
yako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokea 
amini. Elewa mimiwako sikuachi asilani
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni 
mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako 
daima, nakupenda dear…
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu 
umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu 
peke yako dear...
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe 
nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana...
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni 
siri ya maisha matamu
nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni hisia zilizopo moyoni mwetu,hujidhihirishe pale 
unapopata umpendaye,utamu wake ni zaidi ya sukari uchungu 
wake ni zaidi ya shubiri je kwako yapo je?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia 
na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo 
,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza 
furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
,,,,,,,,,,,,,
|~<¤>~|
"""'''''''''"""
Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. 
Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwa 
kupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako, 
nimeambiwa ili 
nipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha 



yk, (3)upendo wk, (3)tabasam yk.

Je! uko tayari kuokoa maisha yangu? 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, 
naishia kukuota ndotoni, 
hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha 
kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako 
hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, 
amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe 
huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno 
hayapo kwake,
nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo 
tayar kumsaliti na lbd aanze yeye
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioni 
nasikia raha.
Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng'ombe 
akala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandika 
kwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwangu 
halitafutika kamwe.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Imara hautikisiki,kakamavu halishikiki penzi langu kwako 
ni nuru daima halizimiki.upo juu katika mapenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac 
hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na 
unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. 
Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwa 
ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.
Nakupenda kipenz cha moyo wangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi
watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo
ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako
,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini
hawajapata wa kuwaowa
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 



/"""""""""/!

/ %¤ / !
!"""""""""! !
!.........!/



Ndani ya box hili kuna silaha tatu za maisha ambazo ni

Aman, Upendo na Furaha, zawadi maalumu kwa watu muhimu 



kama wewe.''

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mti 
usiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww ni 
mrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwani 
na kupenda xana tabua hilo mpnz wangu
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*



upendo sio tigo eti ongea kwa nusu shilingi wala sio voda 

kazi ni kwako, pia sio airtel jisikie huru bali upendo ni 
zawadi pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo 
yetu.hili ni la kuzingatia dear nakupenda sana
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
yakumbuke haya sana katika maisha yako wahurumie wenye 
kukupenda hasa mwenye pendo la dhati kama langu,wapende 
wanaokupenda japo kwa chembe ya upendo,thamini pendo la 
akupendae kwa kila mara japo sekunde moja. 
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
nalia ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona ,najuta ninapo 
kuudhi ,naumia unapo nitenga , nateseka ukiwa kimya 
,nafurahi ukinikumbuka, nakupnda mpz Figga.
●´¯`´¯`●♥¡¡♥●´¯`´¯`●♥
utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wa 
penzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazi 
kwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenye 
kachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenye 
mkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifani
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
unaweza ukafunga macho kwa usilolitaka kuliona lakini 
hauwez kufunga moyo wako kwa Unalo Lipenda. Nakupenda 
Mpenzi
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
upepo wangu wakupuliza wewe kutokana na joto kali 
usijaribu kwa kuvaa sweta ukapunguza ukali ninachotaka mi 
nikuwa na wewe naomb unielewe .
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa,lakini ni 
makubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani. 
inaniuma sana
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 
katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……
lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; 
ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; 
wangu una wewe tu!
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja 
niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako 
kuwa pamoja
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale 
wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita 
ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na 
mimi, mwisho wangu ni wewe.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo 
meseji?
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu 
unaonekana hivyo kila siku
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, 
basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila 
kukupenda wewe.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, 
lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo 
mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, 
kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, 
wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. 
Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si 
mtumaji.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji 
na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke 
kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na 
mapenzi huanza na mimi na wewe.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana 
hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, 
‘tunafiti’ kuwa pamoja.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, 
mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi 
nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo?
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka 
na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi 
jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani 
pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi 
kukosa nafasi ya kukuweka. 
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, 
nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja 
nawe nimelipata.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako, 
lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa 
giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. 
Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza 
usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu 
tu uliyoyaficha hayo.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia ni 
majani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangu 
bure.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia 
tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, 
hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha 
hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji 
kuishi nikumbuke mimi.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu 
nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila 
nikijitahidi unaipoteza akili yangu
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na 
furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara 



nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa 



kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu 



anayekujali.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Chuki huharibu akili; mapenzi huitibu. Umeitibu akili 



yangu.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kumjali mtu ni rahisi, lakini kumfanya mtu akujali ni 



vigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali?

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa 



kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbilio lako la mwisho, 



bali sipendi ulie peke yako.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Ningependa siku moja utamani sana kuwa na mimi, na 



uhangaike sana kunitafuta, ili ujue ni kwa kiasi 



ninavyotamani kuwa nawe sasa.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kila 



ndoto yako itimie kila muda na sehemu, niwepo nikikutakia 



mafanikio mema kwasababu nakujali.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na 



maumivu yake ndani yangu.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kusumbuliwa na mlio wa simu yako, humaanisha kuwa muda 



fulani, mahali fulani, kuna mtu anakufikiria muda huu, na 



huyo ni mimi mara zote nakujali.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini 



tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu 



usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, 



lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka 



sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi 



sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, 



hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa 



naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa 



katika maisha yangu.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo 



ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila 



ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua 



kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini 



kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka 



moyo na akili yangu pia.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua 



yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote 



yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu 



kwa kuwa tunapendana!

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo 



muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la 



pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa 



kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana 



pamoja.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yule 



atakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasi 



inapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letu 



laazizi wangu.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu ni 



kubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe ni 



mtu muhimu sana maishani mwangu.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu 
hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana 


sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa 



kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako 
na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na 
msichana kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. 
Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita 
maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa Figga.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, 
ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda 
mpaka mwisho wa uhai wangu.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba 
mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza 
kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza 
kukuacha.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka 
nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu 
nakusubiri daktari wangu.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki 
zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako 
wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, 
tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata 
ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
♥Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu 
kusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Huruma 
huoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosa 
husameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kila 
jambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendo 
huambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njia 
za mafanikio huonyeshana!!! Mbele ya madui hulindana!!!nai 
ni mmoja katia ya wakupendao,hakika ni 
mm wa kwanza kwanza wengine wanafata♥



*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*



USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na 

wali, 
usizidishe siki akawa mkali. 
Ni 
mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali. 
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Kama upendo ni tone la mvua nakutumia 
!!!!!
!!!!!
!!!!!
Kama furaha ni ua nakutumia maua





*%*%*

)!(
( )
kama tabasamu ni sekunde nakutumia masaa
. '12' .
9 _/ 3
.6. '
kama maombi ni maji nakutumia bahari
-_-_-_-_-_-
-_-_-_-_-_-
-_-_-_-_-_-
kama mafanikio ni majani 
nakutumia miti
,:*"*;, ,:*"*;, 
*;% ,,* *; %,,*
__)(__ __)(__ 
kwasababu nataka uwe na furaha 
cku zote
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*

.:""""\_____.-.-._
( 0 .-----------'
'---'
Tunza ufunguo huu,utautumia kufunga mwaka 2011 & 
kufungulia 2012. Mungu alizigawa nikakuchukulia na wewe
..............................

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mapenzi ni magumu na yatabaki kuwa hivyo, lakini kumbuka 
kuna akupendaye naye ni MIMI!.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi 
nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, 
kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*

Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, 
fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, 
fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo 
kwa kukutumia sms mpenzi wangu, 
Nakutakia usiku mwema
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji 
kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo 
kama ukiwa mbali "NIACHE NIKUPENDE SWEET FIGGANIGGA "
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwe 
sintopunguza upendo kwako, tunza sms hii ya 
ahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo! 
"NAKUPENDA MALAIKA WANGU"
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi 
umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama 
hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu "SINTOMPENDA 
MWINGINE ZAIDI YAKO" 
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani 
nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi 
kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali 
hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, 
huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili 
mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. 
Mchana mwema
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na wala 
sina wazo la kukutenda, nakuomba 
tuendelee kupendana siku zote habbity wangu
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, 
siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu 
muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. 
"NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno 
laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama 
apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee 
salamu "UHALI GANI MPENZI?"
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
tazama, nimezama
ndani ya bahari
la penzi lako
siwezi
kusonga mbele
kurudi nyuma
sijielewi
haya mapenzi ya fujo hayafai
kama wanipenda
jaribu kunipa raha
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na 
liku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlo 
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2 
Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi Mwenyewe 
Silijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus. 
Nakupenda Xana Dia
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mungu akubariki uwe mwiz wa ujuzi na maarifa, mlafi wa 
kushauri, mroho wa busara, mchoyo wa matusi, mlevi wa 
upendo na kiherehere cha kuabudu.say Amen! Ucku mwema 
mpenz
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo 
ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla 
hjalala.g9t
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
pindi nikukumbukapo chozi langu huwa linatoka bila 
sababu,kasi Ya mapigo ya moyo Huongezea Pasipo 
Sababu,nimegundua Nakuhtaji Naomba Unikubalie.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
pendo la dhati lina sifa 
zifuatazo,kuvumilana,kusubiriana,kujaliana,kushauriana,na 
La Mwisho Ni Mimi Na Wewe.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Neno Nakupenda Hutamkwa Kwa Lugha Legeeevu Yenye 
Kuambatana Na Hisia Nzito Zilizofikicha Mioyoni 
Mwetu,hutamkwa Kwa Kauli Bashasha,nakshi Na Hofu Ndani 
Yake.raha Yake Umpate Anayekujali Kama Mi Ninavyokujali 

Nakupenda Mpz 
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Napenda Kuiga Na Kujifunza Nisivyovijua Lakini Kukupenda 

Wewe Siwezi Kuiga Wala Kujifunza. Nakupenda Saaana
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
ahsante mpz kwa kujua thaman yangu kwako,nashukuru 
umegundua hisia zangu mapema naomba unipe hifadh ya kudumu 
ndani ya wigo wa mtima wako.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Nakupenda zaidi ya Armasi inayo chimbwa ardhin,sipendi 
nikupoteze nikajutia Moyoni,naitaji nikuenzi,km mboni yng 
machoni.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,sababu we ndo 

wangu kipenZ,na sina mwengine lahazz.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mapenz yk hasari kwa mwengine sitamani,umeniteka 
akiri,mpaka najihisi punguani,nakupenda sana mpenzi!!
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Ewee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,hakika 
n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa....!!!
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Wangu hayuni mwenye upendo wa dhati,hakika 

nakupenda,mwengine sitamani,hamin mpenz kwa zangu hiz 
tenzi..!
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Moyo hauna nafasi kwa pendo lilo na nia, sijali 
wala sihisi kwako nimejitolea, kwangu toa
wasiwasi sishindwi kukuridhia, kwa yangu hii 
nafasi moyo umekuchagua
..............
Moyoni mwangu hutoki nakuomba ukubali, nawala 
sibadiliki hilo kwangu ni muhali, si km 
sikukumbuki zimenijaa shuhuli, ww kwangu si 
rafiki ni ndugu nnaekujali
.........
Ewe ulo2lizana chaguo la moyo wng kila 
nnapokuona huniondoka machungu tabia zako 
mwanana zmeuteka moyo wangu yoyote atakaekuona 
mwambie ww ni wangu
.......
Moyo unasikitika hauto acha daima. Machozi 
yatiririka siusiku si mchana. Huzuni imenishika 
kwa vile sijakuona 
.........
ndege tausi alimuuliza kasuku "hivi kuna viumbe 
wazuri kuliko sisi duniani?"kasuku akajibu,ndio 
wapo kama hujui mtizame huyu anayesoma msg hii
...........
Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo
nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, 
nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda 

dear
.........
Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni 
penzi nadhifu hilo lazima ujue, Wala si penzi 
la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi la insaaf 
nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako 
nitayarikufa,kama kupenda maradhi dawa kwako 
natafuta, kama kupenda bahati mwenzako 
naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab 
Na wala sitampa mwengine anayefanana na wewe
........................................
UPENDO si ndege ukaonekana angani, 
UPENDO si tunda lichumwalo mtini,
UPENDO si wimbo ningekuimbia, 
UPENDO si vazi ningekushonea,
UPENDO si picha yangu
ningekutumia bali
UPENDO ni thamani iliyoko
moyoni mwangu.
nakupenda na nakutakia 
usku mwema.
.......................
salaam ni 
1,nuru humfariji aliye na huzuni 
2 ni jahazi huvusha aliye ng'ambo 
3,pia ni nuru huangaza gizani,
wewe ni lulu yangu nakupenda xana,
......................
"Umbali si shari ila kujua hali ni mali",
"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali", 
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
................................
Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua,
ila napenda jinsi anavyo CORDINATE na wa2,
nafurah kwa kuwa naongea nae SIMULTANEOUSLY,
ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua 
kuwa nampenda yaan nahic kama niko
kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza
lakin is very long MATRIX .
Nafikir 
ushamjua kwan shep yake ni SIMPLE POLYGON
namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea
...............................
Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,
sababu we ndo wangu kipenZ,
na sina mwengine lahazz.
..............................
wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,
hakika n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa....!!!
...........................
Nashndwa kulala haja ya moyo wng 
naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua
...................................
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako,
utawaliwe na

usingizi wa mahaba kwenye kope zako,
naomba

ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
Usisahau kuniota
sweet wangu. USIKU MWEMA
......................
Asali wa moyo wangu,
fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba
mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba,
jua linaweza kusimama, 

lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

3 comments:

Edusportstz