JINI MAHABA UNAWEZA TESWA BILA KUJUA SOMA JIFUNZE - EDUSPORTSTZ

Latest

JINI MAHABA UNAWEZA TESWA BILA KUJUA SOMA JIFUNZE

Pata GB 10 Mtinadao yote BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA



Huyu ni shayatwini wa kijini ambae kazi yake kuwaingia binadam na kutaka wafanye mapenzi ndugu jini huyu huwa huja kwa njia ya ndoto wengi wanaota wakifanya mapenzi wakiwa usingizini basi kuna uwezekano wa kuwanae jini uyu japo sio kiviile
Ndugu jini uyu akikuzoea huwa anakuja hadi mchana na kutaka mfanye mapenzi na pia huwa libu ndoa za watu na kufanya mtu asitamani mpenz mwingine zaidi ya jini mahaba
Napia jini huyu huwa kuna njia mbili za kumuingia binadamu
1)Uyu jini akikupenda mwenyewe basi hukuingia bila kulazmishwa na MTU
2)Jini uyu zaidi uwaingia watu njia panda njia zilizo fungamana wataalam uenda kumtoa mteja katika njia iyo na kusema hii njia kubwa sana watu hupita katka fungamano hili na upita watu wa aina tofaut basi ondoka kwangu na umchague umtakaye
Kwaiyo jini yule atakuwa anasubili na atachagua amtakaye na atamwingia na kumpa shida kumfungia rizki na mambo mengine mengi
Uyo jini ndio utolewa kwa njia iyo baada ya kutumia dawa nitazo ziolozesha hapo chini sasa hapo ndio utavyoona umuhimu wa kinga mwilini
Kinga inasaidia sana na vitu vichafu vilionjia panda na vya kutumwa na watu pia
TUZIFAHAMU DAWA ZA KUFUKUZA JINI MAHABA AMBAZO WATU UTUMIA MITAANI
1) Majani ya Mbaazi
2)Majani ya mkaratu
3)Majani ya tumbaku
4)Majani ya mkuyu
5) Majani ya mzambalau
6) Majani ya mtula tula
7)Majani ya msufi
8) samaki ainaya shilongwe
9)Unga wa vitunguu swaumu
10)mti ulioangushwa na upepo mizizi iliyotzama juu
11)mvuje
12)Hal tit
,13)most saila
14)karafuu maiti
MATUMIZI ;'. Saga dawa hizi pamoja na uweke katika chupa safi kunywa kwenye uji hasubuhi na Ijioni kwa mda wa siku saba au kama tatzo la mda mrefu tumia kwa mda wa siku 14 au zaidi
Pia kujifukiza ni asubuhi na ijioni ,pia unapotaka kulala unapaka utosini hakika kama ni jini hatatoka haraka sana

ZIFUATAZO NI BAADHI YA DALILLI ZA KUWA NA JINI MAHABA.
1)Kuota unafanya MAPENZI na MTU unayomjua au usiyemjua kwa sura tofauti.
2)Kuota unafanya mapenzi na mnyama
3)Kuota unanyonyesha au kujifungua mtoto
4)Kutokudumu kwnye mahusiano km ndoa au mchumba.
5)Kuwa na hasira za haraka
6)Kukwama kwa mipango yako.
7)Kupoteza pesa au vitu vya thamani.unaweza ukaweka pesa kwny walet au mahali salama KBS kisha ukakuta zimepungua
8)Kutokuwa na ham ya mapenz kwa wanawake na wanaume kutokuwa na nguvu za kiume.
9)Kuota umefunga ndoa
10)Maumivu ya kichwa,mgongo,kiuno na tumbo haswa chini ya kitovu.
11)Kuvulugika siku au kuharibika kwa mimba au kutoshika mimba kabisa
12)Kuumwa U.T.I isiyoisha inayojirudia
13)Kutokupenda KBS mahusiano
14)Matiti kujaa au kutoa maziwa na hauko mjamzito au unanyonyesha
15)Kutodumu kwny kazi na kutokana na pesa
Hizo ni baadhi ya Dalili za jini mahaba.Tafakari chukua hatua.
YEYOTE ULIYETUPIWA JINI MAHABA ILI UMCHUKIE
MUME WAKO
MKE WAKO
MCHUMBA WAKO LITOKE NDANI YAKO N LISHINDWE KWA JINA LA YESU KRISTO.
Mwalimu Bemasha usikose masomo zaidi ujifunze zaidi




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz