Kupitia ukurasa wake wa Twitter zitto kabwe anayaandika haya👇👇
Jambo moja nina hakika nalo kwa dhati ni kwamba utawala huu ni rahisi kuuangusha kikatiba kuliko wowote ule. Unapokuwa na Serikali yenye Mawaziri wasiokuwa Serikalini, watumishi wa umma wanaonyanyasika, Uchumi unaodidimia na dola inayokandamiza haki za watu. Nini zaidi? KURA
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
No comments:
Post a Comment