Sowah Ainusuru Singida Black Stars Dhidi ya Kagera Sugar

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars raia wa Ghana, Jonathan Sowah, ameendelea kuonyesha utimamu na kiwango bora baada ya leo kuifungia timu yake bao muhimu katika sare ya 1-1 dhidi ya Kagera Sugar, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Kaitaba, Kagera. Katika mchezo huo, wenyeji Kagera Sugar walipata bao la kuongoza mapema mnamo […]

The post Sowah Ainusuru Singida Black Stars Dhidi ya Kagera Sugar appeared first on Soka La Bongo.



from Soka La Bongo https://ift.tt/AX4MOVy
via IFTTT

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post