Kwa miaka mingi nilikuwa siamini kwamba siku moja mambo yangeweza kubadilika kati yangu na mtu ambaye alionekana kunichukia kwa moyo wake wote.
Tulikuwa watu wa karibu zamani. Tulikuwa tukielewana vizuri, tukisaidiana, na hata watu wengi walijua hatukuwa tunatengana kirahisi.
Lakini ghafla mambo yalibadilika baada ya kutokea misunderstanding kubwa ambayo ilituacha kila mmoja na maumivu yake.
Lakini ghafla mambo yalibadilika baada ya kutokea misunderstanding kubwa ambayo ilituacha kila mmoja na maumivu yake.
Kilichoniumiza zaidi ni namna alivyonibadilika kabisa. Mtu ambaye zamani alikuwa ananicheka naye kila siku alianza kunipita bila hata salamu.
Kila nilipokutana naye sehemu yoyote alikuwa ananiangalia kwa macho ya hasira au anajifanya hanioni kabisa.
Mwanzoni nilijaribu kurekebisha mambo. Nilitafuta nafasi ya kuzungumza naye mara kadhaa. Nilijaribu kuomba tukae chini kama watu wazima tuzungumze kilichotokea.
Mwanzoni nilijaribu kurekebisha mambo. Nilitafuta nafasi ya kuzungumza naye mara kadhaa. Nilijaribu kuomba tukae chini kama watu wazima tuzungumze kilichotokea.
Lakini kila jaribio langu lilikutana na ukuta. Wakati mwingine nilisikia hata maneno kuwa alikuwa akizungumza vibaya kunihusu kwa baadhi ya watu. SOMA ZAIDI.
Post a Comment