Ndoa yangu ilikuwa sehemu salama kwangu kwa miaka mingi. Mimi na mume wangu tulikuwa tumepitia mengi pamoja changamoto za maisha, kulea watoto, na vipindi vigumu vya kifedha.
Nilikuwa naamini hakuna jambo ambalo lingeweza kututenganisha kirahisi. Lakini ghafla mambo yakaanza kubadilika.
Mwanzoni nilianza kuona mume wangu amebadilika kidogo. Alikuwa mkimya zaidi na mara nyingine mwenye hasira zisizoeleweka.
Mwanzoni nilianza kuona mume wangu amebadilika kidogo. Alikuwa mkimya zaidi na mara nyingine mwenye hasira zisizoeleweka.
Nilijipa moyo nikisema labda ni stress za kazi au changamoto za maisha. Lakini baada ya muda, maneno yalianza kuniumiza.
Kila mara alipoona jambo fulani, alianza kunilinganisha na mwanamke mwingine. Mara aseme fulani anajipanga vizuri kunizidi, mara aseme fulani anajua kuzungumza vizuri zaidi, au hata kuonekana bora kunizidi. Kwa kweli iliniumiza sana.SOMA ZAIDI.
Kila mara alipoona jambo fulani, alianza kunilinganisha na mwanamke mwingine. Mara aseme fulani anajipanga vizuri kunizidi, mara aseme fulani anajua kuzungumza vizuri zaidi, au hata kuonekana bora kunizidi. Kwa kweli iliniumiza sana.SOMA ZAIDI.
Post a Comment