Nilivyopata Nafuu Baada ya Kukosa Usingizi Kwa Miezi na Mawazo Yaliyonifanya Nishindwe Kufurahia Maisha

Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo usiku ulikuwa adui yangu mkubwa. Watu wengi walikuwa wakiniangalia na kudhani niko sawa, lakini ndani yangu nilikuwa napitia kipindi kigumu sana. Kila siku nilikuwa na mawazo mengi ambayo sikuweza kuyazuia.

Mwanzoni nilidhani ni stress za kawaida ambazo zingepita baada ya muda. Lakini hali ilianza kuwa mbaya zaidi. Usiku ulipofika, badala ya kupata usingizi, akili yangu ilikuwa inaanza kufanya kazi zaidi.

Nilikuwa najikuta nawaza mambo mengi kwa wakati mmoja shida za kifamilia, pesa, future yangu, na mambo mengine yaliyokuwa yananisumbua moyoni. Kulikuwa na usiku nililala saa tisa au kumi alfajiri.

Wakati mwingine nilikuwa najigeuza kitandani hadi asubuhi bila hata kupata usingizi wa maana. Kilichoniumiza zaidi ni kwamba mchana nilikuwa nimechoka sana lakini usiku usingizi ulikuwa hauji. Polepole maisha yangu yakaanza kuathirika.

Nilianza kukosa nguvu za kufanya kazi zangu vizuri. Mood yangu ikabadilika. Watu wa karibu walikuwa wakiniona mwenye hasira au mwenye huzuni bila kuelewa nilikuwa napitia nini. Kwa kweli nilianza kuvunjika moyo.

Kulikuwa na siku nilihisi kama maisha yangu hayakuwa na furaha tena. Vitu ambavyo zamani vilikuwa vinanifurahisha vilianza kunichosha. Nilijikuta nimepoteza amani ya moyo. Nilijaribu njia mbalimbali.SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post