Nilivyopata Matumaini Baada ya Miaka ya Kusubiri Mtoto na Kila Jaribio la Kupata Ujauzito Kushindikana

Kwa miaka mingi, ndoto yangu kubwa ilikuwa kubeba mtoto wangu mwenyewe mikononi. Nilipokuwa naolewa, nilikuwa na matumaini makubwa ya kujenga familia yenye furaha. 

Mimi na mume wangu tulizungumza sana kuhusu watoto, majina ambayo tungewapa, na maisha mazuri tuliyokuwa tunaota pamoja.

Mwanzoni hatukuwa na pressure yoyote. Tuliamini mambo yangetokea kwa wakati wake. Lakini miezi ilianza kupita bila mabadiliko. 

Mwaka mmoja ukapita, kisha mwingine, na bado sikuwa nimepata ujauzito. Polepole hali ilianza kuniumiza moyoni.

Kila nilipoona rafiki au ndugu akipata mtoto, nilikuwa nawafurahia but moyoni nilikuwa naumia. Kulikuwa na wakati nilijifungia chumbani na kulia kimya nikijiuliza kwa nini jambo ambalo lilionekana rahisi kwa wengine lilikuwa gumu sana kwangu.

Kilichoniumiza zaidi ni maneno ya watu. Wengine walikuwa wanauliza maswali yasiyokuwa na sensitivity. Mara “Bado hamjapata mtoto?” au “Tatizo ni nini?” Wakati mwingine nilitabasamu mbele yao, lakini ndani yangu nilikuwa navunjika moyo.

Mimi na mume wangu tulijaribu njia mbalimbali. Tulitembelea hospitali, tukafuata ushauri wa wataalamu, na kufanya kila tulichoelekezwa. Kulikuwa na nyakati tulipata matumaini makubwa, lakini kila mwezi ulipopita bila matokeo, moyo wangu ulikuwa unazidi kuumia. SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post