Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kuamini labda kazi nzuri haikuwa sehemu ya maisha yangu. Baada ya kumaliza masomo yangu, nilikuwa na matumaini makubwa sana.
Nilikuwa naamini nikituma applications nyingi na kujituma, siku moja ningepata kazi nzuri ambayo ingebadilisha maisha yangu na kunisaidia kusaidia familia yangu. Mwanzoni nilikuwa na confidence kubwa.
Kila nilipoona tangazo la kazi, nilikuwa natuma CV yangu haraka. Nilihakikisha documents zangu zimepangwa vizuri, nikafanya applications kwa matumaini makubwa, na kila siku nilikuwa nikisubiri simu ya interview.
Lakini miezi ilianza kupita. Hakukuwa na simu yoyote. Mwanzoni nilijipa moyo nikisema labda opportunities zilikuwa chache. Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilianza kuniumiza zaidi. Miaka ilianza kupita.
Nilikuwa natuma CV kila mahali. Mara nyingine nilifika hadi interview za mwisho lakini mwisho nafasi inaenda kwa mtu mwingine. Wakati mwingine sikuwa napata hata response.
Kwa kweli nilianza kuchoka mentally. Kilichoniumiza zaidi ni maneno ya watu. Baadhi walikuwa wakiniambia labda sina connections.
Nilikuwa naamini nikituma applications nyingi na kujituma, siku moja ningepata kazi nzuri ambayo ingebadilisha maisha yangu na kunisaidia kusaidia familia yangu. Mwanzoni nilikuwa na confidence kubwa.
Kila nilipoona tangazo la kazi, nilikuwa natuma CV yangu haraka. Nilihakikisha documents zangu zimepangwa vizuri, nikafanya applications kwa matumaini makubwa, na kila siku nilikuwa nikisubiri simu ya interview.
Lakini miezi ilianza kupita. Hakukuwa na simu yoyote. Mwanzoni nilijipa moyo nikisema labda opportunities zilikuwa chache. Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilianza kuniumiza zaidi. Miaka ilianza kupita.
Nilikuwa natuma CV kila mahali. Mara nyingine nilifika hadi interview za mwisho lakini mwisho nafasi inaenda kwa mtu mwingine. Wakati mwingine sikuwa napata hata response.
Kwa kweli nilianza kuchoka mentally. Kilichoniumiza zaidi ni maneno ya watu. Baadhi walikuwa wakiniambia labda sina connections.
Wengine walikuwa wakisema nilichosoma hakina nafasi nyingi za kazi. Polepole nilianza kupoteza confidence yangu.
Kulikuwa na siku nilikosa hata nguvu ya kutuma application mpya. Nilikuwa na bills za nyumbani, pressure ya familia, na nilianza kuona kama ndoto yangu ilikuwa inaenda kupotea.SOMA ZAIDI.
Kulikuwa na siku nilikosa hata nguvu ya kutuma application mpya. Nilikuwa na bills za nyumbani, pressure ya familia, na nilianza kuona kama ndoto yangu ilikuwa inaenda kupotea.SOMA ZAIDI.
Post a Comment