Kukua kwenye nyumba yenye ugomvi wa kila mara si jambo rahisi. Kwa miaka mingi nilikuwa nikiona wazazi wangu wakibishana karibu kila wiki.
Mwanzoni nilidhani ni mambo ya kawaida ya ndoa ambayo hupita baada ya muda. Lakini kadri nilivyokuwa nikikua, nilianza kuona hali ile ilikuwa kubwa zaidi kuliko nilivyofikiria.
Kulikuwa na kipindi nyumba yetu ilikosa amani kabisa. Baba yangu alikuwa mtu wa kimya sana, huku mama yangu akiwa mwenye huzuni mara nyingi. Wakati mwingine walikuwa hawazungumzi kwa siku kadhaa.
Kulikuwa na tension ndani ya nyumba kiasi kwamba kila mtu alikuwa anaogopa hata kuanzisha mazungumzo. Kwa kweli iliniumiza sana.
Kulikuwa na kipindi nyumba yetu ilikosa amani kabisa. Baba yangu alikuwa mtu wa kimya sana, huku mama yangu akiwa mwenye huzuni mara nyingi. Wakati mwingine walikuwa hawazungumzi kwa siku kadhaa.
Kulikuwa na tension ndani ya nyumba kiasi kwamba kila mtu alikuwa anaogopa hata kuanzisha mazungumzo. Kwa kweli iliniumiza sana.
Nilikuwa nikiwaona wazazi wangu kama watu waliopaswa kuwa mfano wa upendo, lakini sasa walionekana kama watu waliokuwa wamechoka kuishi pamoja.
Kulikuwa na siku nililia kimya chumbani nikihofia familia yetu ingevunjika. Kilichoniumiza zaidi ni siku moja niliposikia wakizungumza kuhusu kutengana. Kwa kweli moyo wangu ulivunjika.
Sikuwahi kufikiria siku moja wazazi wangu wangefika hatua ya kutaka kuachana baada ya miaka mingi pamoja.
Kulikuwa na siku nililia kimya chumbani nikihofia familia yetu ingevunjika. Kilichoniumiza zaidi ni siku moja niliposikia wakizungumza kuhusu kutengana. Kwa kweli moyo wangu ulivunjika.
Sikuwahi kufikiria siku moja wazazi wangu wangefika hatua ya kutaka kuachana baada ya miaka mingi pamoja.
Nilikuwa najiuliza nini kingetokea kwa familia yetu kama jambo hilo lingetokea. Nilijaribu kuzungumza nao mara kadhaa.SOMA ZAIDI.
Post a Comment