Kwa miaka mingi nilikuwa nikihangaika kutafuta breakthrough kwenye biashara yangu. Nilikuwa nimeanza kampuni yangu kwa matumaini makubwa sana.
Nilikuwa na ndoto ya siku moja kupata kazi kubwa ambazo zingebadilisha maisha yangu na ya familia yangu.
Nilikuwa najua nina uwezo, bidii, na experience ya kufanya kazi vizuri lakini opportunity kubwa zilionekana kunikwepa kila mara. Mwanzoni nilikuwa na matumaini makubwa.
Kila nilipoona matangazo ya tenders, nilikuwa naapply kwa juhudi zote. Nilihakikisha documents zangu zimekamilika, proposal zimeandaliwa vizuri, na kila kitu kinafuata utaratibu. Lakini majibu yalikuwa yale yale.
Mara nyingi nilikuwa sipati hata feedback. Wakati mwingine nilifika hatua za mwisho halafu nafasi inaenda kwa mtu mwingine. Kila nilipopata matumaini, mwisho nilikuwa disappointed tena. Kwa kweli iliniumiza sana.SOMA ZAIDI.
Nilikuwa najua nina uwezo, bidii, na experience ya kufanya kazi vizuri lakini opportunity kubwa zilionekana kunikwepa kila mara. Mwanzoni nilikuwa na matumaini makubwa.
Kila nilipoona matangazo ya tenders, nilikuwa naapply kwa juhudi zote. Nilihakikisha documents zangu zimekamilika, proposal zimeandaliwa vizuri, na kila kitu kinafuata utaratibu. Lakini majibu yalikuwa yale yale.
Mara nyingi nilikuwa sipati hata feedback. Wakati mwingine nilifika hatua za mwisho halafu nafasi inaenda kwa mtu mwingine. Kila nilipopata matumaini, mwisho nilikuwa disappointed tena. Kwa kweli iliniumiza sana.SOMA ZAIDI.
Post a Comment