Nilivyokutana na Mwanaume Tajiri wa Kizungu Baada ya Miaka ya Mahusiano Yasiyoelekea na Kukata Tamaa ya Kupata Penzi la Kweli

Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kuamini labda mapenzi ya kweli hayakuwa sehemu ya maisha yangu. 

Kwa miaka mingi nilikuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti yaliyoniumiza moyo. Mara nilikuwa nampenda mtu kwa dhati lakini mwisho anaondoka bila maelezo.

Mara nyingine nilikuwa najikuta kwenye mahusiano ambayo hayakuwa yanaelekea popote licha ya kujitolea kwangu kwa moyo wote. Kwa kweli nilichoka emotionally.

Kulikuwa na wakati nilianza kujiuliza kama kweli ningepata mtu ambaye angenipenda kwa heshima, seriousness, na mipango ya maisha. Watu wengi walikuwa wakiniambia nivumilie, lakini moyoni nilianza kupoteza matumaini.

Kilichoniumiza zaidi ni kuona marafiki wangu wengi wakianza kujenga familia zao huku mimi nikianza upya kila mara. Nilijaribu kujipa moyo. 

Nilianza ku-focus zaidi kwenye maisha yangu, kazi, na kujijenga binafsi. Nilijifunza kujipenda zaidi na kuacha kukimbizana na mahusiano ambayo hayakuwa na direction.SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post