Kwa miaka mingi, ndoto yangu kubwa ilikuwa kuwa na nyumba yangu mwenyewe. Nilikuwa nimechoka maisha ya kupanga.
Kila mwaka kodi ilikuwa inapanda, na kila mara nilikuwa na hofu ya kuambiwa nihame ghafla.
Nilikuwa natamani sehemu ambayo ningeiita nyumbani kwangu bila pressure ya mwenye nyumba au tarehe ya kodi kunisumbua kila mwezi. Lakini hali ya maisha haikuwa rahisi.
Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii, lakini pesa zilikuwa zinaisha kabla hata sijafikia mipango yangu. Kila nilipojaribu kuweka akiba ya kujenga, changamoto nyingine zilikuwa zinajitokeza. Mara ni ada ya watoto, mara matibabu, mara matatizo ya kifamilia.
Polepole ndoto yangu ilianza kuonekana mbali sana. Kilichoniumiza zaidi ni maneno ya watu. Baadhi ya watu wa karibu walikuwa wakinicheka waziwazi.
Nilikuwa natamani sehemu ambayo ningeiita nyumbani kwangu bila pressure ya mwenye nyumba au tarehe ya kodi kunisumbua kila mwezi. Lakini hali ya maisha haikuwa rahisi.
Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii, lakini pesa zilikuwa zinaisha kabla hata sijafikia mipango yangu. Kila nilipojaribu kuweka akiba ya kujenga, changamoto nyingine zilikuwa zinajitokeza. Mara ni ada ya watoto, mara matibabu, mara matatizo ya kifamilia.
Polepole ndoto yangu ilianza kuonekana mbali sana. Kilichoniumiza zaidi ni maneno ya watu. Baadhi ya watu wa karibu walikuwa wakinicheka waziwazi.
Wengine waliniambia nyumba ni ndoto kubwa sana kwangu. Kuna aliyewahi kuniambia, “Wewe utaishi kupanga maisha yako yote.”
Kwa kweli maneno yale yaliniumiza sana. Lakini moyoni sikuacha kuota. Nilianza kuweka akiba kidogo kidogo hata kama ilikuwa ngumu. Wakati mwingine nilijinyima vitu nilivyovipenda ili tu niweze kusogeza mbele ndoto yangu.
Lakini kulikuwa na kipindi nilianza kukata tamaa. Mwaka ulipita bila maendeleo makubwa. Nilikuwa naona kama kila kitu kilikuwa kinasimama. Nilijiuliza mara nyingi kama kweli ningefanikiwa siku moja.SOMA ZAIDI.
Kwa kweli maneno yale yaliniumiza sana. Lakini moyoni sikuacha kuota. Nilianza kuweka akiba kidogo kidogo hata kama ilikuwa ngumu. Wakati mwingine nilijinyima vitu nilivyovipenda ili tu niweze kusogeza mbele ndoto yangu.
Lakini kulikuwa na kipindi nilianza kukata tamaa. Mwaka ulipita bila maendeleo makubwa. Nilikuwa naona kama kila kitu kilikuwa kinasimama. Nilijiuliza mara nyingi kama kweli ningefanikiwa siku moja.SOMA ZAIDI.
Post a Comment