NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga ameendelea kukiwasha Saudi Arabia baada ya kuiongoza Al Nassr ya Wanawake kutwaa ubingwa wa Kombe la SAFF Women’s Cup kwa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya watani wao wa jadi, Al Hilal katika fainali iliyopigwa Kingdom Arena. Katika mechi hiyo iliyokuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili, […]
The post CLARA LUVANGA ANG’ARA TENA SAUDIA appeared first on Soka La Bongo.
from Soka La Bongo https://ift.tt/jgTfs70
via IFTTT
Post a Comment