Nilivyopata Ujasiri wa Kuondoka Kwenye Kazi Iliyokuwa Inaniumiza na Kuanza Upya na Kujifanyia Revenge

 

Kwa muda mrefu nilikuwa kwenye kazi ambayo ilininyima amani kabisa. 

Kwa nje ilionekana kama nafasi ya kawaida, lakini ndani yake nilikuwa napitia changamoto nyingi kupuuzwa, kudhalilishwa kimya kimya, na kazi zangu kutothaminiwa hata nikijitahidi kiasi gani.

Kila siku nilikuwa naenda kazini nikiwa na mzigo mzito wa kihisia.

Nilijikuta nikivumilia zaidi kuliko nilivyopaswa, nikijipa matumaini kwamba mambo yangekuwa bora. Lakini badala ya kubadilika, hali ilizidi kuwa ngumu zaidi. 

Nilianza kupoteza kujiamini. Nilikuwa sina furaha hata nje ya kazi. Wakati mwingine nilijiuliza kama nilifanya kosa kuchagua njia hiyo ya kazi, lakini bado nilibaki kwa sababu ya hofu ya kuanza upya.

Baada ya muda, nilifikia hatua ya kuchoka kabisa. Ndipo nilipoanza kutafuta mwongozo wa ziada ili kuelewa hatua sahihi ya kuchukua.SOMA ZAIDI...................

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post