Nilivyofanikiwa Kurudi Sokoni Baada ya Biashara Kufungwa na Madeni Kunifunika

 


Nilipofunga biashara yangu, nilihisi kama ndoto yangu imezikwa hai. Madeni yalikuwa yamenifunika kutoka kila upande wenye nyumba walitaka kodi, wauzaji walitaka malipo, na wateja waliokuwa wamezoea kuniona walipotea kimya kimya. Kila nilipopita sokoni, nilijificha macho chini kwa aibu.

Nilikuwa nimejaribu kila kitu nilichojua, lakini kilichobaki ni stress na lawama binafsi.

Nilijaribu kurudi sokoni kwa nguvu, nikakopa tena, nikapunguza bei, hata nikabadilisha bidhaa. Hakuna kilichoshika. Badala ya kusonga mbele, nilizama zaidi. Ndipo nikagundua kuwa tatizo halikuwa pesa pekee, bali mwelekeo. Soma zaidi hapa 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post