Kikosi cha Yanga leo kinarejea mazoezini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Pamba Jiji ambao utapigwa Jumatano, Septemba 24 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Msimu huu Yanga imechagua kutumia dimba la Mkapa kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za ligi kuu, kombe la CRDB na Ligi ya mabingwa
Ni baada ya Serikali kufungua uwanja huo ambao kwa takribani misimu miwili haukutumika kwa mechi za ligi kutokana na ukarabati uliokuwa ukiendelea
Ni baada ya Serikali kufungua uwanja huo ambao kwa takribani misimu miwili haukutumika kwa mechi za ligi kutokana na ukarabati uliokuwa ukiendelea
Yanga kurejea dimba la Mkapa ni habari njema kwa mashabiki ambao sasa watapata nafasi ya kuishuhudia timu yao kwa wingi
Katika misimu miwili iliyopita, Yanga ilitumia viwanja vya Azam Complex na KMC Complex ambavyo vilichukua idadi ndogo ya mashabiki wasiozidi 7000
Usikose kutazama mechi ya YANGA VS PAMBA JIJI na SIMBA VS FOUNTAIN GATE, pia na mechi za LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA, MASHINDANO YA CAF LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au Bonyeza HApa Au hapa pia kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope.

Post a Comment