Taarifa Mpya kutoka Simba muda huu


 Michuano ya CECAFA Kagame Cup kwa mwaka huu inatarajiwa kuanza Septemba 02 hadi Septemba 16 ambapo timu 12 zimealikwa kushiriki michuano hiyo

Klabu ya Simba ni miongoni mwa timu zilizoalikwa lakini Wekundu hao wa Msimbazi, hawatashiriki kwa msimu wa pili mfululizo

Ratiba inaelezwa kuwa ndio sababu ya Simba kugomea michuano hiyo ambayo kwa miaka ya karibuni imepoteza mvuto

Simba iko Cairo ikiendelea na pre-season na wekundu hao wa Msimbazi wanatarajiwa kurejea nchini August 28

Kikitua Tanzania, kikosi cha Simba kitaendelea na maandalizi yake kuelekea Tamasha la Simba Day litakalofanyika Septemba 10 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA BONYEZA 🔞 HAPA

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post