Download App ya Nijuze Tv kutazama mechi za ligi kuu Nbc bure, Epl, Laliga, Bundesliga, Seria A, Caf na nyinginezo pia app hii ina chanel za Azam tv na Dstv utaweza kuzitazama bure
Droo ya mechi za hatua ya awali na raundi ya kwanza ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL) imefanyika leo jijini Dar es salaam ambapo Simba imepangwa kuchuana na Gaborone United ya Botswana katika hatua ya awali
Mchezo wa kwanza utapigwa Botwana na mechi ya marudiano kupigwa wiki moja baadae jijini Dar es salaam
Aidha kama Simba itafanikiwa kutinga raundi ya kwanza, itachuana na mshindi wa mchezo kati ya Simba Bhora ya Zimbabwe dhidi ya Nsingizini Hotspurs ya Malawi
Katika mchezo wa raundi ya kwanza Simba pia itaanzia ugenini na kumalizia nyumbani
Mechi za raundi ya awali zitapigwa Septemba 19-21 leg 1 na Septemba 26-28 leg 2
Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app

Post a Comment