Yanga Yapelekwa Angola hatua ya awali CAF CL

Download App ya Nijuze Tv kutazama mechi za ligi kuu Nbc bure, Epl, Laliga, Bundesliga, Seria A, Caf na nyinginezo pia app hii ina chanel za Azam tv na Dstv utaweza kuzitazama bure

Idownload kwa kubonyeza HAPA au HAPA


 Droo ya mechi za hatua ya awali na raundi ya kwanza ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL) imefanyika leo jijini Dar es salaam mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga wakipangwa kuchuana na Wiliete Benguela ya Angola

Mchezo wa kwanza utapigwa Angola na mechi ya marudiano kupigwa wiki moja baadae uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam

Endapo Yanga itatinga raundi ya kwanza, itachuana na mshindi wa mchezo kati ya Elgeco Plus ya Madagascar dhidi ya Silver Strikers ya Malawi, mchezo huo pia Yanga itaanzia ugenini na kumalizia nyumbani

Mechi za hatua ya awali zitapigwa Septemba 19-21 leg 1 na Septemba 26-28 leg 2

Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post