Niliishia nguvu baada ya kubaini mdogo wangu anatoka na shemeji yake

 

Nimekuja kuamini hapa duniani, kuna watu hata uwafanyie kitu gani kwao ni vigumu kuridhika, hata ujitoe kwa kiasi gani nyoyo zao zinaendelea kuwaka tamaa na kutafuta mambo mengine sawa na yale ambayo umewatendea wa kuwapa.

Nimefikia hitimisho la kusema hivyo kwa sababu, ni hivi majuzi nilimfumania mume wangu akiwa amelala kitanda kimoja na mdogo wangu wa tumbo moja.

Hiyo ni baada ya mimi kutumia dawa za Kiwanga Doctors ambazo zinakuwezesha kujua mienendo ya mume wako, nilipata namba yake katika moja magazeti huku nchini na kuwasiliana naye kisha kupata msaada.

Niliamua kufanya hivyo baada ya kuaona ukaribu wa kupita kiasi kati ya mume wangu na mdogo wangu hadi nikahisi kuna jambo ambalo linaedelea kati yao bila ya mimi kujua. Soma zaidi hapa 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post