Matokeo Tanzania vs Senegal leo Mashindano ya Cecafa

Matokeo Tanzania vs Senegal leo Mashindano ya Cecafa

Download App ya Nijuze Tv kutazama mechi za ligi kuu Nbc bure, Epl, Laliga, Bundesliga, Seria A, Caf na nyinginezo pia app hii ina chanel za Azam tv na Dstv utaweza kuzitazama bure

Idownload kwa kbonyeza HAPA sisi kwetu michezo ni Furaha


Timu ya Taifa ya Tanzania imekamilisha mechi zake mbili za kujiandaa na michuano ya CHAN 2024 leo ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Senegal katika mchezo uliopigwa uwanja wa Black Rhino, Karatu

Senegal ilitangulia kufunga bao lake mapema lakini Stars ikasawazisha na kuongeza bao la pili katika kipindi cha pili kupitia kwa mabao ya Abdul Sopu na Ibrahim Hamad Bacca aliyefunga bao laa ushindi

Bacca ameendeleza rekodi ya kupachika mabao aliyoanza katika ligi kuu ya NBC msimu uliopita na sasa ameihamishia katika timu ya Taifa
 

Katika mchezo wa kwanza dhidi ya Uganda, Stars iliibuka na ushindi wa bao 1-0

Vijana wa Stars sasa wako tayari kwa michuano ya CHAN ambao itaanza kutimua vumbi August 02

Usikose kuzitazama mechi hizi leo ARSENAL vs NEW CASTLE, TANZANIA vs SENEGAL na BARCELONA vs VISSEL KOBE  LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post