Sasii afungiwa miezi sita

 

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia kwa miezi sita mwamuzi Heri Sasii kwa kosa la kushindwa kumudu mchezo wa ligi kuu kati ya Simba dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa May 28 katika uwanja wa KMC Complex

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Kamati hiyo, Sasii amekumbana na adhabu hiyo baada ya kufanya maamuzi mengi yaliyoashiria kushindwa kutafsiri vema sheria 17 za mpira wa miguu 

Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa Kanuni ya 42:1(1.1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Waamuzi.

Katika mchezo huo Simba ilishinda bao 1-0 lakini kulikuwa na matukio matatu ya dhahiri ambayo Sasii alipaswa kuizawadia Singida BS mikwaju ya penati lakini hakufanya hivyo

Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wadau, hatimaye Kamati imeanza kuwafungia waamuzi ambao hawachezeshi kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu

Hata hivyo unaweza kusema adhabu hizi zimechelewa kwani kuna timu zimenufaika sana na makosa ya waamuzi

Kama adhabu zingetolewa mapema pengine kuna waamuzi wangefungiwa na wasingepata nafasi ya kuendelea kuzinufaisha timu hizo

Usikose kuitazama mechi hii ya AFRIKA KUSINI vs TANZANIA LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post