Siku hiyo ilikuwa ya kawaida kama nyingine. Niliamka mapema, nikamvalisha mwanangu mdogo Brian mavazi safi, na tukaelekea sokoni Kariakoo kufanya manunuzi. Alikuwa na miaka minne tu, mwenye tabasamu tamu na mcheshi kiasi kwamba hata wafanyabiashara walimzoea.
Nikiwa kwenye kibanda cha mbogamboga, nilimwacha pembeni kidogo tu, macho yangu yakiwa kwa nyanya zilizopangwa vizuri. Haikuchukua hata dakika mbili nilipojigeuza, Brian alikuwa ametoweka.
Panic ilinishika. Nilimuita kwa sauti ya juu....SOMA ZAIDI
Post a Comment