Mara ya kwanza niliposikia mume wangu akisema kwa utani kuwa mimi ni kama friji, nilicheka tu. Lakini baadaye maneno hayo yalianza kuniuma. Hakusema moja kwa moja, lakini kila wakati tulipokuwa karibu, nilihisi kama kuna kitu kinamkera.
Hakuwa akifurahia tendo la ndoa kama zamani, na mara nyingi alinitafuta visingizio. Kama mwanamke, nilianza kujihisi duni. Ushawishi wangu wa kimapenzi ulizidi kupungua, na hali hiyo ilianza kuathiri ndoa yetu kwa ujumla.
Nilipojaribu kumkabili, alinikwepa. Lakini siku moja nilimsikia akiongea na rafiki yake akisema kuwa mimi “sijui kumfurahisha mume,” na kwamba nilikuwa kama barafu kitandani. Machozi yalinibubujika usoni mwangu.
Nilimpenda sana mume wangu, na...SOMA ZAIDI
Post a Comment