Siku zote nilijua mume wangu alikuwa mtu mwaminifu. Tulikuwa kwenye ndoa kwa miaka saba, na ingawa tulikuwa na changamoto kama wanandoa wengine, hakukuwa na jambo kubwa lililotishia ndoa yetu.
Lakini miezi kadhaa iliyopita, alianza kubadilika ghafla. Hakuniangalia tena kama mwanzo, aliepuka mazungumzo ya kina, na mara kwa mara alisingizia kazi ili asirudi nyumbani mapema. Kila mara nikimuuliza kama kuna tatizo, alinijibu kwa hasira au kunipuuza kabisa.
Kwa muda, nilijaribu kujipa moyo kuwa labda ni msongo wa kazi au matatizo ya kawaida ya kiume, lakini moyo wangu haukutulia. Nilihisi kuna kitu kikubwa kinajificha nyuma ya ukimya wake.
Nilianza kuchunguza taratibu, nikakagua....SOMA ZAIDI
Post a Comment