Watu wengi walikuwa wananiona nikitembea kwenye maduka makubwa nikinunua mavazi ya pesa mingi, nikifurahia chakula cha gharama kwenye hoteli za kifahari, na mara kwa mara nikiposti likizo zangu za matao kwenye Instagram.
Kilichowashangaza wengi ni kwamba sikuwa na kazi rasmi, na hakuna mtu aliyewahi kunisikia nikisema nina biashara. Wengi walidhani labda nilizaliwa kwenye familia ya kitajiri. Lakini ukweli ni kwamba, maisha yangu yaligharamiwa kikamilifu na wababa wenye fedha.
Ilikuwa ni kama sinema jinsi nilivyoweza kuwavutia wanaume waliokuwa tayari kunigharimia kila kitu, kutoka kodi ya nyumba, ada za salon, hadi safari....SOMA ZAIDI
Post a Comment