Mabao mawili ya Steven Mukwala yametosha kuihakikishia ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa KMC Complex
Ulikuwa mchezo wa nne wa kiporo kwa Simba ikikamilisha ratiba ngumu ndani ya siku 10 na kukusanya alama 12, ikifunga mabao 10 na kuruhusu mabao 3
Mnyama alilazimika kutoka nyuma kupata ushindi huo baada ya KMC kutangulia kufunga bao la uongozi mapema katika kipindi cha kwanza
Mukwala akafunga kila kipindi na kuipa Simba alama tatu huku mwenyewe akisogea juu katika mbio za ufungaji bora baada ya kufikisha mabao 11
Simba imefikisha alama 69 sasa ikiwa jino kwa jino na watani zao Yanga ambao wana alama 70 huku tmu zote zikishuka dimbani mara 26
Kwa sasa Simba inaelekeza nguvu zake kwenye fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC) dhidi ya RS Berkane
Muda mchache ujao kutakuwa na mechi kali za ligi kuu barani ulaya moja ikiwa kutanisha wababe wa hispania kati ya BARCELONA vs REAL MADRID na huko england ni LIVERPOOL vs ARSENAL Aise Usikose kuzitazama mechi hizi zote LIVE bure kupitia simu yako download App yetu muda huu inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope
Au hapa chini
Kudownload Bonyeza hapa ili kudownload App
Au
AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD
Au hapa chini pia
App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)
- Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Post a Comment