Matchday : Yanga vs Namungo Fc, NBC PL

 

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mabingwa watetezi Yanga watashuka dimba la KMC Complex kuikabili Namungo Fc

Ni mechi ya mzunguuko wa 28, zikisalia raundi ya mbili kuhitimisha msimu huu

Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi ameweka wazi kuwa wanahitaji kushinda mchezo huu ili kujiweka katika nafasi ya kutetea ubingwa kwa msimu wa nne mfululizo

Haitakuwa mechi rahisi kwani Namungo Fc wana kawaida ya kuwa wagumu kila wanapokutana na Wananchi

Mara ya mwisho timu hizo zilipokutana katika uwanja wa Majaliwa, Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0, Kennedy Musonda na Pacome Zouzoua wakifunga mabao ya Yanga

Mtanange huo unatarajiwa kupigwa saa 10:15 jioni

Usikose kuitazama mechi hii ya  YANGA vs NAMUNGO LIVE  bure kupitia simu yako  download App yetu muda huu inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post