Ishu ya Elie Mpanzu kutimka Simba ndo hivo tena ishu nzima iko hivi

 

Simba inaelekea kwenye michezo ya fainali ya kombe la Shirikisho dhidi ya RS Berkane ambapo mechi ya mkondo wa kwanza itapigwa Jumamosi May 17 nchini Morocco na marudiano kupigwa wiki moja baadae May 25 uwanja wa Benjamin Mkapa

Tangu wiki iliyopita zimeibuliwa tetesi kuwa Simba haikumsajili kiungo mshambuliaji Elie Mpanzu kwa mkataba wa moja kwa moja bali ni mkopo wa miezi sita kutoka klabu ya AS Vita

Tetesi hizo zimemuibua Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi klabu ya Simba Salim Abdallah 'Try Again' ambaye alisimamia mchakato wa usajili wa Mpanzu

Try Again amesema Simba ilimnunua Mpanzu kutoka klabu ya AS Vita na sio mkopo akisaini mkataba wa miaka miwili

"Elie Mpanzu ni mchezaji halali wa Simba alisaini mkataba wa miaka miwili tena alisaini ofisini kwangu sasa yanayoendelea kwasasa ni propaganda za kutaka kututoa kwenye reli. Wanasimba tuna mechi muhimu za kujadili kuliko mkataba wa Mpanzu kwasasa"

"Wanasimba wenzangu tupo kwenye kilele cha kufikia mafanikio ya kubeba kombe la shirikisho tuache kucheza ngoma ambayo hatuipigi sisi tujielekeze kwenye hizi fainali mbili ambazo zipo mbele yetu," alisema Try Again

Mechi inayofata ni A BERKANE vs SIMBA SC na JKT vs YANGA  usikose kuzitazama mechi hizi  LIVE  bure kupitia simu yako  download App yetu muda huu inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post