Lyanga agoma kumwaga wino Azam FC kisa Simba

Ayoub Lyanga

Ni kesho ZAMBIA vs TANZANIA mechi ya kuwania kufuzu kombe la dunia usikose kuitazama mechi hii live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi hii live bure kabisa pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv bure bofya sasa kuidownload

Winga wa Azam FC, Ayoub Lyanga amemaliza mkataba wake ndani ya Azam Fc. Mazungumzo baina ya pande zote mbili yapo kwenye hatua ngumu.

Lyanga amegomea ofa ya mkataba mpya wa mwaka mmoja, Anahitaji ofa nono ya kuanzia miaka miwili.

Singida Blacks Stars imeonesha nia ya kumuhitaji winga huyo, huku Simba SC pia wakitajwa.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA ILI UJIFUNZE MAUTUNDU

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post