Simba wamkabidhi Timu John Bocco - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba wamkabidhi Timu John Bocco

Simba wamkabidhi Timu John Bocco

Ni kesho ZAMBIA vs TANZANIA mechi ya kuwania kufuzu kombe la dunia usikose kuitazama mechi hii live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi hii live bure kabisa pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv bure bofya sasa kuidownload

Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula amekutana na Kocha wa timu ya Vijana wa chini ya miaka 17, John Bocco.

Simba SC imemkabidhi Bocco jukumu la kukinoa kikosi cha vijana wa chini ya miaka 17 ambacho kimeonyesha mafanikio makubwa msimu huu.

Kajula alisema “tunatambua mchango mkubwa wa John Bocco ndani ya Simba kama nahodha wetu na sasa kocha kwenye timu zetu za vijana. Tunalenga mbali na kutumia wachezaji wetu wenye uzoefu na waliotumikia klabu yetu kwa mafanikio ni moja ya lengo letu katika kujenga timu imara za vijana.”

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA ILI UJIFUNZE MAUTUNDU



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz