Haji Manara amchamba Fei Toto "Kiko wapi?" - EDUSPORTSTZ

Latest

Haji Manara amchamba Fei Toto "Kiko wapi?"

Leo ni ENGLAND vs BOSNIA pia GERMANY vs UKRAINE usikose kuzitazama mechi hizi live buree kwenye simu yako pia kutakuwa na mechi kati ya TANZANIA vs ZAMBIA bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hizi live kabisa bureee pia ukiwa na app hii utaweza kutazama chanel zote za azam tv na Dstv na muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili bofya sasa kuidownload pia yale mambo yetu yale yapo

Anaandika Haji Manara baada ya Yanga kubeba ubinhqa qa shiriki;

Makombe yalikuwa sehemu ya maisha yako, mikono yako ilishazoea kubeba Mataji kama haya, uliyabeba sana hadi ukafanana nayo,ulikuwa ukitabasamu hadi tukawa tunaona meno yako yote!! HAYA KIKO WAPI?

Ukakubali kuingizwa Chaka na Wachambuzi Mazuzu na Wakakuaminisha utaendelea kushinda tena na tena Makombe, wakakudanganya na ukawaamini, HAYA KIKO WAP?

Imagine jana ulituziba hadi midomo baada ya kufunga Penaltı yako,hukujipa hata subira Matuta yaishe, unatuletea utoto Wananchi? Ukasusa hadi kuvaa medali yako, unasusa medali SUSAAA,! HAYA KIKO WAPI?


Yanga ni kubwa sana Fei, usithubutu next time kushangilia hadi mechi iishe,Yanga ina Bond na Makombe ya Nchi hii, imeundwa ili ishinde na kushinda na kushinda Mataji ,,ulivyoweka kidole tu kutunyamazisha nikajua tunashinda hi mechi, ulifanya uchuro mkubwa kwa Wananchi, Pole Dogo next time uwe na heshma na adabu kwa Dar Young Africans, HAYA KIKO WAPI?



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz