Gamondi mguu nje mguu ndani Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Gamondi mguu nje mguu ndani Yanga

Gamondi mguu nje mguu ndani Yanga

Leo ni ENGLAND vs BOSNIA pia GERMANY vs UKRAINE usikose kuzitazama mechi hizi live buree kwenye simu yako pia kutakuwa na mechi kati ya TANZANIA vs ZAMBIA bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hizi live kabisa bureee pia ukiwa na app hii utaweza kutazama chanel zote za azam tv na Dstv na muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili bofya sasa kuidownload pia yale mambo yetu yale yapo

Kocha Mkuu wa Yanga Migel Gamondi huwenda hatakuwa sehemu ya benchi la ufundi la Wananchi kwani mpaka sasa hajasaini mkataba mpya.

Gamomdi ambaye ameshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara pamoja na CRDB Federation Cup, amethibitisha kuwa mkataba wake umeisha jana na atafanya mazungumzo na Yanga kuona anasalia au la.

"Mkataba wangu na Yanga umeisha leo (jana) hivyo nitafanya mazungumzo na uongozi kuona taratibu za mkataba mpya," alisema Gamondi mara baada ya kushinda mechi ya fainali ya CRDB dhidi ya Azam FC kwa mikwaju ya penalti.

Licha ya kuwa haijajulikana kama atashawishiwa na ofa ya Yanga au la, Gamondi amekuwa akiwindwa na vilabu mbalimbali vikubwa hususan vya Afrika Kusini hasa baada ya kuonesha uwezo mkubwa kweye mechi ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz