Mnaosema Pacome kashuka kiwango mnapima nini hasa? - EDUSPORTSTZ

Latest

Mnaosema Pacome kashuka kiwango mnapima nini hasa?

Mnaosema Pacome kashuka kiwango mnapima nini hasa?

Leo ni ENGLAND vs BOSNIA pia GERMANY vs UKRAINE usikose kuzitazama mechi hizi live buree kwenye simu yako pia kutakuwa na mechi kati ya TANZANIA vs ZAMBIA bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hizi live kabisa bureee pia ukiwa na app hii utaweza kutazama chanel zote za azam tv na Dstv na muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili bofya sasa kuidownload pia yale mambo yetu yale yapo

Duniani kote adui mkubwa wa talent ni injury na saikolojia . Eden Hazard akiwa Chelsea alikuwa bora sana lakini baada ya kujiunga na Madrid injury ni moja ya sababu ya kustaafu kwake mapema , mtazame Mapinduzi Balama , Hassan Dilunga na wengine

Nimekutana na maoni kuwa Pacome Zouzoua ni overrated tu lakini ni average player , well mpira ni mchezo wa wazi na kila mtu anaona kwa namna yake

Sipo hapa kuwapinga lakini naona ni mapema sana kusema haya ! Pacome ametoka kwenye injury , kwenye fainali ya jana ametumika hadi dakika 120 zinatamatika na penati yake ilisaidia kurudisha matumaini

Nna swali , hivi kweli benchi ambalo lengo namba moja ni kupata taji wangekubali kuona mchezaji yupo chini ya kiwango na bado anazima hali ya kuwa kwenye benchi una Sure boy,Farid Mussa , Musonda & Mkude ?

Hawa wachezaji ni wanajeshi na mkuu wa vikosi ni maKocha , oder ya kiongozi ndio ambayo inafuatwa bila kujali unajua nini , kuna wakati mwalimu anakutuma kazi tofauti na ilivyozoelewa [ mbinu]


Mchezaji katoka kwenye injury ,mazuri yamefutwa na kumuona wa kawaida ni mapema sana na mimi sitashiriki kwenye mkumbo huo



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz