CAF yaahirisha AFCON 2025 - EDUSPORTSTZ

Latest

CAF yaahirisha AFCON 2025

CAF yaahirisha AFCON 2025

Mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia kwa mataifa ya africa na nje zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi hizi live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app inayoonesha mechi hizi live buree kabisa kwenye simu yako pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel zote za azam tv na Dstv bure bofya sasa kuidownload

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeahirisha rasmi michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 na badala yake itafanyika Januari 2026.

Uamuzi huu umefanywa ili kuepusha mgongano wa ratiba na Kombe la Dunia la Vilabu la FIFA, linalotarajiwa kuanza Juni 15 hadi Julai 13, 2025, nchini Marekani.

Tarehe za awali za AFCON zilikuwa Juni 2025, hivyo Kupangwa upya huku kunamaanisha kuwa AFCON na Kombe la Dunia la FIFA 2026 zitafanyika mwaka huo huo, tofauti ikiwa ni miezi sita pekee.

Una maoni gani juu ya uamuzi huu?



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz