Taarifa mpya kuhusu Ayoub Lakred - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kuhusu Ayoub Lakred

Ayoub Lakred

Kudadeki ni Jumamosi hii Yanga vs Simba mechi ya kibabe mechi ya Kisasi usikose kuitazama mechi hii live bureee kupitia Simu yako bado unajiuliza utaitazama vipi au wapi bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree kabisa hakika ni mechi ya Kibabe bofya kudwownload mapema ili usipitwe

Kipa wa Simba, Ayoub Lakred amerejea na kuanza mazoezi leo Uwanja wa MO Simba Arena, Bunju Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya watani, Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini.

Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kwamba Lekred alikwenda kwao, Morocco baada ya mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Al Ahly Jijini Cairo nchini Misri Aprili 5, mwaka huu kwa sababu ya matatizo ya kifamilia.

Aidha, Ahmed Ally amesema kikosi kitaondoka mapema leo kwenda visiwani Zanzibar kuweka kambi ya kujiandaa na mchezo huo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz