Ishu ya Mashabiki wa Simba kwenda Misri ipo hivi - EDUSPORTSTZ

Latest

Ishu ya Mashabiki wa Simba kwenda Misri ipo hivi

 Naibu Waziri wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma

Kudadeki unaanzaje kukosa mechi ya Al ahly vs Simba bonyeza hapa kudownload app itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii Live bureee kabisa bofya sasa kuipakua mapema kabisa ili kuepuka usumbufu siku ya mechi

Naibu Waziri wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma amesema kuwa Serikali imepokea maombi ya Klabu ya Simba ya kupeleka mashabiki wake Misri kwa ajili ya kuiunga mkono timu hiyo kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly.

Mwinjuma ameyasema hayo nje ya Ukumbi wa Bunge leo Jumanne, Aprili 2, 2024 wakati akizungumza na Mwananchi mara baada kikao cha kwanza cha mkutano wa 15 wa Bunge la 12 unaoendelea jijini Dodoma.

Aidha kuhusu mapokezi ya timu hiyo, Mwinjuma amesema balozi za Tanzania kwenye nchi za Afrika ya Kusini na Misri zinafanya kazi kwa karibu na klabu hizo ili kuhakikisha hakuna jambo litakaloleta changamoto.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz