Baleke kutua Yanga? - EDUSPORTSTZ

Latest

Baleke kutua Yanga?

Jean Baleke na kiongozi wa Al Ittihad

Mshambuliaji wa Klabu ya Al Ittihad ya Libya Jean Othos Baleke ambaye yupo kwa mkopo kwenye klabu hiyo akitokea TP Mazembe amekua na kiwango bora tangu alipotua kwenye ligi hiyo kwa kufunga bao 3 kwenye mechi 4.

Leo ndio kivumbi na Jasho kudadeki usikose kuitazama mechi ya Mamelodi vs Yanga live buree kabisa bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii buree kabisa bofya sasa kuidownload ili usipitwe

Baleke ambaye msimu uliopita alikua kwenye kikosi cha Simba ameweka wazi kua atarejea kwenye Ligi kuu Tanzania bara lakini hakutaja kwenye klabu ipi ila kathibitisha kuna klabu tatu zinamtaka.

Miongoni mwa vilabu vinavyotajwa kutaka saini yake ni Yanga SC na Azam FC huku Simba ikiwa haina mpango nae kwani wamemwachia katika dirisha dogo baada ya kutoridhishwa na kiwango chake.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz