TETESI: Yanga kumpa "Thank you" Lomalisa - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI: Yanga kumpa "Thank you" Lomalisa

Mlinzi wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa

Azam Fc vs Yanga usikose kuitazama mechi hii live bure kabisa bonyeza hapa kudownload app yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii live bure pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama mechi zote za Caf na muvi zilizo tafsiriwa

Mlinzi wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Klabu ya Yanga.

Kwa mujibu wa taarifa Yanga haitamuongezea mkataba mwingine watamuacha aondoke, Joyce Lomalisa alishapanga mwishoni mwa msimu aondoke na kutimkia Afrika Kusini.

Unadhani Yanga wanapaswa kumuacha mlinzi huyo raia wa Congo kwa sasa? Tupe maoni yako

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz