Kudadeki Simba hawapoi warudi tena kwa winga wa Mali - EDUSPORTSTZ

Latest

Kudadeki Simba hawapoi warudi tena kwa winga wa Mali

Kiungo mshambuliaji wa AS Real Bamaco ya Mali Cheickna Diakite

Yanga vs Mamelodi, Simba vs Al ahly unaanzaje kukosa mechi hizi za kibabe bonyeza hapa kudownload app yetu uweze kutazama mechi hizi zote live bureee kabisa bureeee bofya sasa kuidownload app mapema ili kuepuka usumbufu

Klabu ya Simba kwa mara nyingine yarudi mawindoni kuiwania saini ya kiungo mshambuliaji wa AS Real Bamaco ya Mali Cheickna Diakite mwenye umri wa miaka 19.

Simba na Yanga zote kwa pamoja ziliwahi kutajwa kuhitaji saini ya kinda huyo lakini hakuna aliefanikiwa kumshusha bongo.

Kinda huyo ambaye pia anacheza timu za taifa za vijana za Mali aliwahi kuja Tanzania akiwa na Real Bamaco na kuwasumbua sana mabeki wa Yanga walipokutana kwenye mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika.

Je mnyama atampata Kinda huyo?

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPAz



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz