Yanga na Al Ahly watatainga robo fainali - Mchambuzi - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga na Al Ahly watatainga robo fainali - Mchambuzi

 Yanga na Al Ahly watatainga robo fainali - Mchambuzi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Mchambuzi wa masuala ya Soka nchini kutoka Wasafi Media, Hans Raphael Mwombeki amewapa nafasi mabingwa wa Tanzania, Young African Sports Club 'Yanga' kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya mabingwa Afrika.


Kauli hiyo ya Hans inakuja baada ya Yanga kupangwa kwenye kundi moja na Medeama ya Ghana, CR Belouzdad ya Algeria na Al Ahly ya Misri.


"Belouizdad ni bingwa wa Algeria misimu minne mfululizo, Al Ahly ni bingwa mara (43) wa Misri na bingwa mtetezi wa CAF, Yanga ni bingwa wa Tanzania misimu miwili mfululizo na finalist wa Shirikisho. Kabla ya kufika hapa Medeama waliwaondoa Horoya ya Guinea, hili ni kundi la kibabe.


"Belouizdad ni tishio kwenye ligi yao Algeria lakini hawana historia nzuri na CAF Champions league kwa miaka ya hivi karibuni. Medeama ni mpinzani wa kawaida kwa Wananchi, hivyo fomu ya Yanga, quality ya wachezaji wao pamoja na "Pira Joga Bonito", Yanga na Al Ahly watatinga Robo fainali," amesema Mchambuzi Hansrafael Mwombeki.


MD1: CR Belouizdad V Yanga Sc (Novemba 24-25, 2023) - Away


Yanga Sc V Al Ahly (Desemba 1-2, 2023) - Home


Medeama V Yanga Sc (Desemba 8-9, 2023) - Away


Yanga SC V Medeama (Desemba 19, 2023) - Home


Yanga Sc V CR Belouizdad (Februari 23-24, 2023) - Home


Al Ahly V Yanga Sc (Machi 1, 2024) - Away.


TotalEnergies CAF Champions League Group Stage Draw Results:


GROUP A: Mamelodi Sundowns (South Africa), Pyramids FC (Egypt), TP Mazembe (DR Congo), FC Nouadhibou (Mauritania)


GROUP B: Wydad AC (Morocco), Simba SC (Tanzania), Asec Mimosas (Cote d’Ivoire), Jwaneng Galaxy (Botswana)


GROUP C: Esperance (Tunisia), Atletico Petroleos (Angola), Al Hilal (Sudan), Etoile du Sahel (Tunisia)


GROUP D: Al Ahly (Egypt), CR Belouizdad (Algeria), Young Africans (Tanzania), Medeama (Ghana).


COMPETITION MATCH DATES


MD 1 | 24 – 25 November


MD 2 | 01 – 02 December


MD 3 | 08 – 09 December


MD 4 | 19 December


MD 5 | 23 -24 February


MD 6 | 01 – 02 March.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz