Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Leo asubuhi Kikosi cha Simba SC kimecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Ngome FC na kuibuka na ushindi wa magoli 6-0.
Mabao ya Simba katika mchezo wa leo yamefungwa na Shomari Kapombe, Aubin Kramo, Willy Onana, Chilunda na Jean Baleke aliefunga mabao 2.
Simba ipo kwenye maandalizi ya kujiandaa na mchezo wa hatua ya mtoano Ligi ya Mabingwa dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.
kumbuka mechi hii itakuwa live kweñye app yetu kama bado huna app yetu 👉👉 BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment