TETESI: Chama mbioni kuondoka Simba, Agoma kusafiri na Timu - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI: Chama mbioni kuondoka Simba, Agoma kusafiri na Timu

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Kiungo Clatous Chota Chama hajasafiri na kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kuelekea Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya (pre-season) na kwa mujibu wa CEO wa klabu hiyo Imani Kajula kiungo huyo ana matatizo binafsi.


Hata hivyo inaelezwa matatizo ya mkataba ndio sababu ya Mwamba wa Lusaka kubaki Nchini na inadaiwa mkataba wake na Simba SC ulifikia ukomo mwisho wa msimu uliopita 2022/23.


Kwa mujibu wa vyanzo Chama ameuambia uongozi wa Wekundu hao wa Msimbazi kuwa anahitaji maongezi na ana ofa mkononi lakini alipoambiwa aseme ofa inatoka wapi 'The Triple C' amewaambia viongozi jambo hilo ni siri yake.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz