SIMBA DAY kufanyika August 06 uwanja wa Mkapa - EDUSPORTSTZ

Latest

SIMBA DAY kufanyika August 06 uwanja wa Mkapa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Tamasha kubwa zaidi la soka katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati SIMBA DAY litafanyika August 06 katika uwanja wa Benjamin Mkapa


Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema awali Tamasha hilo lilipaswa kufanyika August 08 lakini wamerudisha nyuma kwa siku mbili kutokana na ratiba ya Ngao ya Jamii


"Simba Day itakuwa Agosti 6, tumeirudisha nyuma siku mbili sababu Agosti 10 tutakuwa na mchezo wa Ngao ya Jamii hivyo tunataka wachezaji wetu wapate muda wa kupumzika," alisema Ahmed


Wiki ya Simba inatarajiwa kuanza August 01 ambapo Wanasimba watashiriki matukio mbalimbali ya kujitolea kwenye jamii


Kikosi cha Simba kiko nchini Uturuki kikiendelea na maandalizi ambapo timu itarejea mwanzoni mwa mwezi August



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz