Mbappe awekewa mshahara wa Bilioni 1 kwa siku - EDUSPORTSTZ

Latest

Mbappe awekewa mshahara wa Bilioni 1 kwa siku

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Winga wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya PSG Kylian Mbappe amewekewa mshahara wa kufa mtu iwapo atajiunga Klabu ya Al Hilal.


Kylian Mbappé amewekewa mshahara wa €700m huko Al-Hilal kwa msimu 1, na mchanganuo wa mshahara wake utakuwa kama ifuatavyo;


Mwaka £600m = Tsh 1,882,249,020,000 (zaidi ya Trilioni 1)


Mwezi £50m = Tsh 156,851,395,500 (Zaidi ya Bilioni 150)


Siku £1.64m = Tsh 5,143,931,832 (zaidi ya Bilioni 5)


Saa £68.5k = Tsh 214,845,713 (Zaidiya Milioni 214)


Dakika £1.1k = Tsh 3,450,077 (Zaidi ya milioni 3)


Sekunde £19 = Tsh 59,592 (Zaidi ya Elfu 50)



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz