Baada ya kutemwa simba, Gadiel mbioni kutimkia timu hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Baada ya kutemwa simba, Gadiel mbioni kutimkia timu hii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Baada ya kutemwa na Simba, mlinzi wa kushoto Gadiel Michael, yuko mbioni kujiunga na klabu ya Singida Fountain Gate Fc ya mkoani Singida


Gadiel alikuwa sehemu ya kikosi cha Simba kwa misimu minne, mabosi wa Simba wakaachana nae baada ya mkataba wake kumalizika msimu huu


Singida Fountain Gate pia inatajwa kumsajili mlinda lango Beno Kakolanya ambaye pia ameachwa na Simba baada ya mkataba wake kumalizika


Matajiri hao wa Singida pia wanatajwa kumuwania beki Kennedy Juma ambaye hata hivyo Simba haina mpango wa kumuacha kwa kuwa bado ana mkataba wa mwaka mmoja


Zipo taarifa kuwa Kennedy kama ilivyo kwa Joash Onyango, nae aliomba kuachwa ili akajiunge na timu ambayo itampa uhakika wa kucheza


Kennedy ni miongoni nmwa wachezaji ambao Kocha Robertinho Oliveira alipendekeza kuendelea nao



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz