Abdallah Shaibu Ninja atimkia kagera sugar - EDUSPORTSTZ

Latest

Abdallah Shaibu Ninja atimkia kagera sugar

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mlinzi Abdallah Haji Shaibu (Ninja) tayari amefikia makubaliano ya kuitumikia Kagera Sugar kuelekea msimu ujao.


Inaelezwa amesaini mkataba wa muda wa miaka miwili na Kagera Sugar .


Ninja alimaliza muda wake wa kuitumikia Yanga na kuwa mchezaji huru lakini kagera waliipambania saini yake tangu alipomaliza muda wake Yanga.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz